Friday, 21 March 2014

Picha 11 za ajali iliyotokea Mchana wa March 21 kwenye kituo cha mabasi Ubungo

IMG-20140321-WA0002Hii ni ajali iliyotokea mchana wa March 21 nje ya gheti la kutokea kituo cha mabasi yaendayo mikoani[Ubungo Bus Terminal]na  imehusisha lori lililofeli breki na kwenda kugonga magari 5,mpaka sasa idadi kamili ya majeruhi na watu waliopoteza maisha haijapatikana.


Jeshi la Polisi tayari wameshaanza kuchukua hatua za awali ikiwa ni pamoja na kuwapeleka majeruhi hospitali na kutoa magari yaliyosababisha ajali hiyo,kwa taarifa za awali inasemekana Dereva wa lori hilo alikimbia mara baada ya kutokea ajali hiyo,
IMG-20140321-WA0003
IMG-20140321-WA0001
IMG-20140321-WA0004                             
  Miongoni mwa majeruhi wa ajali hiyo wakikimbizwa hospital.
IMG-20140321-WA0005
IMG-20140321-WA0007
IMG-20140321-WA0008
IMG-20140321-WA0012
IMG-20140321-WA0011
IMG-20140321-WA0010
IMG-20140321-WA0009