Friday, 21 March 2014

Ajali mbaya iliyohusisha magari 6 yatokea Ubungo jijini Dar katika lango kuu la kuingilia mabasi




Ajali mbaya imetokea ubungo lango kuu la kuingilia mabasi yatokayo mikoani. Ajali hiyo  imehusisha magari 6 likiwemo UDA .Mpaka sasa haijajulikana idadi ya watu waliopoteza maisha.