Wednesday, 12 February 2014

SUMAYE APOKELEWA NA MABANGO YANAYOMUHUSU LOWASSA AKIWA JIJINI MWANZA


                IMEANDIKWA NA Shadrack Mgaya  
 Hapa ni baadhi ya washiriki kwenye kongamano lilofanyika katika ukumbi wa nyanza jijini mwanza washiriki walikuwa wanafunzi wa vyuo jijini mwanza
 Mh. Sumaye akizungumza katika kongamano hilo leo




 waandishi wa habari nao hawakuwa nyuma katika kongamano hiliwalikuwepo na walifuatilia kwa makini pia 




 Baadhi ya wageni waalikwa waliokuwepo katika kongamano hilo wakiwa wanafuatilia kwa makini kabisa

 Baadhi ya wageni waalikwa waliokuwepo katika kongamano hilo wakiwa wanafuatilia kwa makini kabisa















 Baadhi ya wageni waalikwa waliokuwepo katika kongamano hilo wakiwa wanafuatilia kwa makini kabisa







 Viongozi wa serikali za wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali wakiwa wanafuatilia suala hili kwa makini kabisa








 Hapa vijana waliamua kuonyesha waziwazi mahaba yao kwa mh.Lowasa na kutuma salamu kwake kama unavyoona bango hili