Tuesday, 3 December 2013

JUMA K JUMA AANZA MAZOEZI RASMI LEO YANGA, USO KWA USO NA BARTHEZ KIJITONYAMA

Kipa mpya wa Yanga SC, Juma Kaseja aliyesajiliwa kutoka kwa wapinzani, Simba SC, leo asubuhi ameanza mazoezi na timu yake hiyo Uwanja wa Bora, Kijitonyama, Dar es Salaam

Wamekutana tena; Kaseja kulia akiwa na Ally Mustafa 'Barthez' waliyewahi kufanya naye kazi Simba SC


Mpendane, msisikilize majungu; Kocha wa makipa,  Mkenya Razack Ssiwa katikati akzungumza na Barthez na Kaseja

Wachezaji wa ndani wakijifua