Eneo hilo jipya litakuwa kilomita elfu moja mia moja kazkazini mashariki mwa kusini mwa bahari hindi.
Mamlaka
ya usalama wa baharini nchini Australia imesema kuwa hatua hiyo
inatokana na taarifa muhimu na utafiti wa Malaysia pamoja na matokeo ya
utafiti wa rada ya ndege hiyo iliyotoweka.