Sunday, 23 March 2014

Picha Maalum Kutoka IKULU:Rais Jakaya Kikwete Alipowasili Dodoma na Kuongoza Kikao Cha Baraza la Mawaziri



 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, akisalimiana na Makamu wake Dkt. Mohammed Gharib Bilal, baada ya kuwasili katika ukumbi wa Tamisemi kwa ajili ya kuongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri mjini Dodoma jana mchana. Rais  leo anatarajiwa kulizindua rasmi na kulihutubia Bunge Maalum la Katiba katika ukumbi wa Bunge mjini Dodoma.
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha baraza la Mawaziri mjini Dodoma jana mchana
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (kushoto) na Waziri wa Afrka Mashariki, Samuel Sitta, wakiwa katika kikao hich