Friday, 7 February 2014

HATIMAYE WAJUMBE WATAKAOSHIRIKI KATIKA BUNGE LA KATIBA WATAJWA JIONI HII IKULU DAR ES SALAAM


Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi Bw. Florence Turuka akitangaza majina ya wajumbe wa Bunge Maalum la katiba   jioni hii katika ukumbi wa mikutano wa ofisi za Mawasiliano Ikulu jioni hii jijini Dar es salaam.
Waandishi wa Habari wakiwa wanasikiliza kwa makini majina ya wajumbe watakao shiriki katika  Bunge la Katiba litakalokuwa na wajumbe 640, litakutana kwa siku 70 (na kuongezewa siku 20 kama hawatoafikiana)  kujadili Rasimu ya Katiba iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Desemba 30, mwaka jana, katika ukumbi wa mikutano wa ofisi za Mawasiliano Ikulu jijini Dar es salaam

Majina yote tutawaletea hapa hapa ... Endelea kufuatilia 

Picha na Dar es salaam yetu Blog