Tuesday, 18 February 2014

DIAMOND NA AY SASA WAUNGANA NA KWENDA AFRIKA KUSINI KWA AJILI YA KILIMO, SOMA ZAIDI HAPA

Diamond na Ay wamepanda pipa kuelekea Afrika kusini na wengi wanadhani jamaa  wameenda kupiga show lakini taarifa ni kwamba jamaa wameenda kuongea na organization moja huko inayoitwa ONE na kazi ya hii organization ni kutokomeza umaskini uliokithiri na magonjwa  yanayozuilika hasa kwa nchi za Afrika.Tegemea makubwa kutoka kwenye hii safari sababu tayari kuna wasanii wengine wameshafanya makubwa hasa kwenye sekta ya kilimo.
AY-Diamond
Msanii kutoka Nigeria , D’banj ni mmoja kati ya member wa One na alitembelea wakulima wadogowadogo wa zao na cocoa nchini Ghana na kujionea inavyokua kua mkulima mdogo. D’banj aliweza kuanza shughuli ya kilimo huku akiwa hana hana namba moja ya soko la zao lake na aliweza kujifunza thamani ya kilimo.

Processed with VSCOcam with g3 preset Dbanj Ghana vibe Tanzania 3 Processed with VSCOcam with g3 preset