Inajulikana kabisa kuwa Mzee Warner Freund mwenye umri wa miaka 79 ndiye mzee kinara katika kuishi na wanyama wakali na hatari nchini Ujerumani akiwa na zaidi ya Mbwa mwitu 28 nyumbani kwake . Mzee huyu amekuwa na wanyama hawa wakali sana kwa muda wa miaka 40, jambo lililomfanya kuzoeana nao moja kwa moja
Hebu twende pamoja ....
Hebu twende pamoja ....

Mzee Werner Freund ambaye ni mtafiti wa zamani wa wanyama hao nae sasa amekuwa kama mnyama tuu mtazame hapa anakula bila wasiwasi

Werner Freund akikalisha ka Mbwa mwitu kadogo chakula kutokea mdomoni mwake
Mbwa mwitu hawa wanafurahia chakula kutoka kwa mzee Werner Freund 
Ukishangaa ya Mussa utaumia sasa tazama nini kinatokea hapa chini

Werner Freund kama Mbwa mwitu wake nae anakomaa kula moja ya mnnyama aliyekutwa amekufa.

Nyama inazidi kuliwa

Wanatafuna balaa

Hii Balaa sana

Werner Freund ndivyo anavyokula kila siku

Werner Freund, 79, 


Walisha shiba hawa

Sasa na yeye ameshiba

Werner Freund akiwa amemaliza kuchinja viumbe hawa tayali kwa kuliwa