Monday, 23 December 2013

PICHA: AIR BUS LILIVYOGONGA BULLDOZER LA WACHINA NA KUSABABISHA MAJURUHI

Bus hilo la Air Bus lililogonga gari la wachina na kusababisha majeraha kwa abiria waliokuwa wakitokea Dar-Tabora katika kijiji cha Kigwa umbali mfupi kuingia mjini Tabora. Masaibu haya yalitokea jana tarehe 23-12-2013
[Sijapata kupata habari kuhusu majeruhi]
Picha zimepatikana katika kundi la facebook la "TABORA NDIO KWETU"
Hongera: