Saturday, 21 December 2013

MANJI ALIVYOTIA HURUMA TAIFA LEO, ALIWAANGALIA KWA DHARAU WACHEZAJI WAKE

Hawana maana; Mwenyekiti wa Yanga SC, Yussuf Manji akiwaangalia wachezaji wake (chini) wakati wanatoka mapumziko wakiwa wamekwishalowa 2-0 mbele ya Simba SC katika mchezo wa Nani Mtani Jembe. Simba SC ilishinda 3-1.
Wachezaji wa Yanga wakitoka wakati wa mapumziko
Anavyowatazama
Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Executive Solutions, Aggrey Marealle
credit bin zubbery