Thursday, 19 December 2013

MAHAKAMA KUU ZANZIBAR YAMUACHIA KWA DHAMANA ALIYETUHUMIWA KUMUUA PADRI MUSHI




Mahakama Kuu Zanzibar imemuachia kwa dhamana Omar Mussa Makame anayetuhumiwa kumuua Padri Evaristi Mushi baada ya kudhaminiwa na wadhamini wawili kwa dhamana ya shilingi laki 5 kila mmoja.Taarifa zaidi zitakujia endelea kuwa nasi