
James Kisaka enzi za uhai wake.
Kisaka aliyewahi kuwa kipa wa timu hiyo miaka ya nyuma, alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya kichwa, macho na miguu kwa muda mrefu.
MTANDAO WA PAPARAZI unatoa pole kwa ndugu na jamaa.
MUNGU AIPUMZISHE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI. AMINA