
Monday, 30 December 2013
RASIMU YA KATIBA INAWASILISHWA RASMI KWA MHE RAISI JAKAYA KIKWETE,SOMA BAADHI YA VITU VILIVYOMO HAPA

ASERNAL YARUDI KILELENI, CHELSEA YAIZAMISHA LIVERPOOL 2-1 NA KUSHUKA MPAKA NAFASI YA TANO!!

CHELSEA VS LIVERPOOL

VIDEO IKIONYESHA SIMBA NAMNA ANAVYOPIGWA NA NGILI TENA BILA HURUMA, KISA.....
HIKI NDICHO ALICHOSEMA DADA WA WAZIRI KWA KUSEMA KUWA BORA KUMVULIA NGUO MWANAUME KULIKO KUJIHUSISHA NA MADAWA YA KULEVYA.

"Bora kuvuliwa nguo na mwanaume kuliko kuuza madawa ya kulevya"....Huu ni ushauri wa Mwamvita makamba kwa akina dada.
Sunday, 29 December 2013
JAJI MKUU MSTAAFU, AUGUSTINO RAMADHANI (ALIWAHI KUWA BRIGEDIA JENERALI WA JWTZ ) ATAWAZWA KUWA MCHUNGAJI WA KANISA LA ANGLIKANA HUKO ZANZIBAR

Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino Ramadhani ametawazwa kuwa Mchungaji wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Zanzibar na kusema ameshangazwa na mashambulizi ya tindikali dhidi ya viongozi wa dini Visiwani humo.
MH. SUMAYE ACHANGISHA MILIONI 225 UJENZI WA UKUMBI, KANISA KATOLIKI MAWELA
Waumini wa kanisa katoriki Parokia ya Maonano, Mawela wakiwa
AUNGUZWA NA MAFUTA YA MOTO KISA VOCHA

MKASA MZIMA ULIKUWA HIVI.....
Kijana mwenye umri wa miaka 17 ambaye ni mke wa mtu anateseka hospitalini baada ya kuchomwa na mafuta ya kupikia ya moto na ndugu yake baada ya kuhisiwa kuiba vocha ya simu ya mtandao wa Telecel yenye thaman ya senti 50 huko Zimbabwe.
MKASA MZIMA ULIKUWA HIVI.....
Kijana mwenye umri wa miaka 17 ambaye ni mke wa mtu anateseka hospitalini baada ya kuchomwa na mafuta ya kupikia ya moto na ndugu yake baada ya kuhisiwa kuiba vocha ya simu ya mtandao wa Telecel yenye thaman ya senti 50 huko Zimbabwe.
BALOZI WA PAPA ATAKASA KANISA LILILOPIGWA BOMU ARUSHA.
![]() |
KUSHOTO: Askofu Fransisco Padilla. KULIA: Kanisa la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi la Olasiti siku lilipopigwa bomu. |
Hatimaye Kanisa la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi la Olasiti jijini hapa lililopigwa bomu Mei 5 mwaka huu na kuahirishwa uzinduzi wake, limezinduliwa jana na Balozi wa Papa na Mwakilishi wa Vatican nchini Tanzania, Askofu Fransisco Padilla.
NDOA YAVUNJIKA RASMI WAVUTANA KURUDISHIANA FEDHA WALIZOPOKEA.
Bwana harusi akiwa na mpambe wake kanisani wakimsubiri bibi Harusi |
CHUO KIKUU CHETU CHA DAR ES SAALAM NI CHA 4 AFRICA
![]() |
University of Dar es Salaam |
The rankings of Africa’s top higher education institutions is provided by the 4 International Colleges & Universities (4icu). 4icu is an international higher education search engine and directory reviewing accredited Universities and Colleges in the world. 4icu.org includes 11,160 Colleges and Universities, ranked by web popularity, in 200 countries.
HUYU NDIYE SUPER STAR JACKIE WOLPER NA MUONEKANO WAKE MUPYA LIVE!!

MAAJABU...! MKE KUMPA RUKSA MUMEWE ATAFUTE MWANAMKE WA NJE WAKUFANYA NAE MAPENZI, SOMA ZAIDI HAPA

A woman has described how going through the ménopause killed her séx life - because intercourse became so painful.
Saturday, 28 December 2013
WABUNGE WAJISALIMISHA MADAWA YA KULEVYA....SOMA ZAIDI HAPA

Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kipentekoste, William Mwamalanga
Baada ya tishio la kupelekwa kwenye Mahakama ya Kimataifa ya ICC, watu watano wakiwemo wabunge watatu wa CCM wanaodaiwa kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya wamejisalimisha kwenye kamati ya kidini inayojihusisha na maadili nje na ndani ya makanisa.ASHANTI UNITED YATOA KADI ZA UANACHAMA, WAPENZI WA KANDANDA WAOMBWA KUJIUNGA !!

WAPENZI wa soka nchini wameombwa kujitokeza kwa wingi kuomba kadi za uanachama katika klabu ya Ashanti United yenye makazi yake maeneo ya Ilala, jijini Dar es salaam.
POMBE YAUA MFANYAKAZI WA TIGO MKOANI SHINYANGA

Katika hali isiyokuwa ya kawaida mfanyakazi mmoja wa kampuni ya simu za mkononi ya TIGO mkoani Shinyanga amekufa papo hapo baada ya kudaiwa kunywa pombe nyingi aina ya Konyagi kupita kiasi.
SAKATA LA WANAUME WALIOOTA MATITI

VIJANA watatu wa familia moja ya Felipe Ramirez, wamepata balaa kubwa baada ya kuota matiti yaliyosababisha kuchekwa na vijana wenzao waliokuwa wakiwaona kuwa ni mashoga.
Vijana hao kutoka katika Jamhuri ya Dominica ni Yeuri (17 ), Gabriel (11) na Daniu RamÃrez (12), hata hivyo, kwa sasa wanaishi kwa amani baada ya kufanyiwa upasuaji na kuondolewa matiti hayo.
VIDEO: YULE MUHUBIRI WA KIKE AMBAYE HUFANYA KAZI HIYO HUKU MATITI YAKE YAKIWA WAZI ATOA UJUMBE MPYA!
African American LaTascha Emanuel who claims to be a Christian evangelist and owner of LaTascha Emanuel Ministries became popular after a video of her ‘preaching the gospel’ with her b**bs open went viral on the internet early this year is back without a new message.

The stripper turned preacher who has a ‘gospel’ web series with her husband titled ‘gospel from a strippers pole’ said that her ‘indecent exposure has been working because men are said to be flocking into her church(be it out of sheer curiosity, or to really listen to her ‘gospel’)
KWA WASIO MFAHAMU SNURA, WA MAJANGA HAYA NDIYO MAISHA YAKE HALISI KWA UJUMLA!

KWA wasiomfahamu msichana huyu, wanamuona kama chipukizi aliyeukwaa ustaa ghafla, lakini wanaofuatilia mambo ya sanaa na burudani,
PICHAZ...AIBU BONGO MOVIES...BASATA HAMYAONI HAYA?!HII NI LAANA,HAPA ZINAJENGA AU ZINABOMOA?!!

Hakika tasnia ya filamu kwa hapa bongo na hata baadhi ya nchi za Afrika zimekuwa zikipotosha na kuharibu jamii zetu hasa vijana
HUU NDIO UJUMBE MZITO ALIOACHA JACKIE CLIFF KABLA YA KUDAIWA KUKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA NCHINI CHINA,USOME HAPA

Yaelekea mwanadada Jackie alikuwa amejipanga kisawa sawa na alijitoa muhanga na kujua lolote lingeweza kumpata kutokana na kazi aliyo kuwa akifanya ya kubeba sembe. Jackie alijipanga na kuamua kumuachia rafiki
Maggid Mjengwa azindua kitabu cha Simulizi za Mzee Mandela leo

Mkurugenzi wa Kampuni ya Ikolo Investment,Maggid Mjengwa akizungumza na wadau mbalimbali waliohudhulia kwenye hafla fupi ya uzinduzi wa Kitabu cha "Simulizi za Mzee Mandela" kilichoandikwa na Maggid Mjengwa mwenyewe.hafla hiyo imefanyika jioni ya leo kwenye Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa,jijini Dar es Salaam.
HUU NI UGONJWA HATARI!!~ TAZAMA HAPA AKIFANYIWA OPESHENI BAADA YA NYAMA KUBWA KUFUNIKA KICHWA CHAKE

BreakingNews :Jeshi la polisi wilayani Kiteto mkoani Manyara limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wakulima na wafugaji baada ya kutokea vurugu katika mkutano wao uliotishia kuvurugika kwa amani.

Jeshi la polisi wilayani Kiteto mkoani Manyara limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wakulima
Subscribe to:
Posts (Atom)