Deaogratius
Dida Munishi, Simon Msuva, Hamis Kiiza, Oscar, Kelvin Yondan, Emmanuel
Okwi. Niyonzima Haruna, Mbuyu Twite, Nadir Haroub Cannavaro, Domayo,
Mrisho Ngassa. - Hiki ndio kikosi cha Yanga cha mwaka 2014 ambacho nacho
kimewapiga waarabu 1-0 nyumbani kama ilivyofanya Simba mwaka 2003.
Je unadhani kipi ni
kikosi kikali na Je Yanga itaweka rekodi kama ya Simba kumtoa Al Ahly
ambaye ni bingwa mtetezi wa Champions league? |