Dereva wa
pikipiki ya abiria maarufu kama bodaboda Aliyepata ajali mbaya na
kuvunjika kabisa mguu wake wa kulia mara baada ya kugongwa na roli la
mchanga katika eneo la daraja la Mkolani wilayani Nyamagana nje kidogo
ya jiji la Mwanza Mwaka jana .Wito ni Madereva Kuwa makini na Kufuata
sheria za Usalama barabarani
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhX-zY4AzIGDGPjU_6NPnhGJzoBya2uzgSXfUHZHFi19NmQGvXHPxb2aEwb-rlABLgnDYYpZSG_fUtGLiNLVR7eKLMfIUNyhV_EiWZEdUUXdzDRzraab7jPGkwAaqd20CUBesbDpgZmNDCc/s640/01.ajali+ya+bodaboda+mkolani+2.jpg)