Thursday, 27 February 2014

Wale wa 50 Cent, kuna video yake ya ‘funeral’ hapa

Screen Shot 2014-02-27 at 9.26.47 AMNi zaidi ya wiki moja imepita toka rapper 50 Cent alitangaza kuondoka kutoka lebo iliyochangia uzito wa jina lake kwenye hiphop Shady/aftermath via Interscope Records na tayari ameshaachia new music.
Amedondosha video inaitwa ‘funeral’ ambapo siku ya tatu ya March 2014 ataingia kwenye soko la muziki na album mpya ya ‘animal ambition’