Thursday, 27 February 2014

WAGONJWA WASUBIRI KUTAMBULIWA NA NDUGU ZAO HOSPITALINI MUHIMBILI


KAMERA yetu jana ilitembelea Taasisi ya Tiba na Mifupa na Mishipa ya Fahamu (MOI), wodi za Sewahaji na Maisela vyumba namba 17 na 18 katika hospitali ya Muhimbili na kugundua kuna wagonjwa kadhaa ambao aidha wametelekezwa na ndugu zao au hawafahamu kwamba wana ndugu zao katika hospitali hiyo.
Katika kuwahoji, wagonjwa hao walitoa wito kwa watu wanaowafahamu kuwasaidia kufikisha kilio chao kwa ndugu zao.
NA JERALD LUCAS/GPL