Magari makubwa yakiwa yamepaki kwenye barabara ya Mandela jijini Dar es salaam kuanzia TOT mpaka Mwananchi ambapo imekuwa kero kwa watumiaji wa barabara hii
.
.
Hii imekuwa kero kwa watu wengi wanaoitumia barabara ya Mandela kwani magari haya yachukua nafasi kubwa ya barabara
Pia kuna magari mengine yamepaki kwenye service roads
CHANZO: PAMOJA BLOG