HABARI & MICHEZO
Pages
Home
Contact Us
Sports
Sunday, 5 January 2014
Basi laacha njia mteremko wa Sekenke Singida
Basi la Allys toka arusha kwenda Mwanza limeacha njia na kuingia kwenye mteremko wa mlima Sekenge. Kwa mujibu wa taarifa zilizopo break zilifelI. Watu wote wametoka salama.
Newer Post
Older Post
Home