DUH..KWELI POMBE SI CHAI...WADADA KWA WAKAKA WALEWA NA KUANGUSHA KIHASARA HASARA...!SHUKA NAYO HAPA....
Masela wakiwa hoi baada ya kupiga mitungi na kuselebuka muziki kwenye pati ya nguvu......Kama huyo dem mwenye mapaja wazi ndo dem wako, umekuja kumtafuta unamkuta akiwa utam nje nje na amelaliana na masela sijui utafanya nini kwa kweli eeh.....!????