Sunday, 2 February 2014

ANGALIA PICHAZ; M4C- OPARESHENI YA PAMOJA DAIMA YATIKISA PWANI

Wananchi wa Kata ya Kibindu, Chalinze, Pwani wakipiga pipooooooz power ya nguvu mkutano uliohutubiwa na Mwenyekiti wa Taifa Mbowe, Makamu wake Said Issa Mohamed, Peter Msigwa na Halima Mdee