Sunday, 5 January 2014

Mwili wa Dk. Mgimwa wawasili Iringa, wapokelewa na Waziri Mkuu

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimpa pole Jane Kakingo Mgimwa, mjane wa aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dr. William Mgimwa baada ya mwili wa marehemu kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Nduli Iringa  kwa ajili ya mazishi  yanayotarajiwa kufanyika kijijini Magunga  januari 5 , 2014


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akishuhudia wakati mwili wa  aliyekuwa  Waziri wa Fedha, Dr. William Mgimwaukishushwa kwenye ndege tayyari kwa mazishi yatakayofanyika kesho kijijini kwake Magunga