Wednesday, 8 January 2014

HAWA NI WABUNGE WATATU WALIOFUKUZWA KWENYE VYAMA VYAO ILA WANAENDELEA KUWA WABUNGE KUTOKANA NA MBELEKO YA MAHAKAMA




David Kafulila afulia!alifukuzwauanachama NCCR 2011 ila bado anandelea kutokana kesi iliyopo mahakamani






Hamad Rashid  alifukuzwauanachama  CUF 2012 ila bado anandelea kutokana kesi iliyopo mahakamani





Zitto Kabwe alishutukia dili la kufukuzwa na kamua kwenda Mahakamani kuzuia Kamati Kuu ya CHADEMA isijadili uanachama wake