
Mamia ya
wafuasi na wapenzi wa chadema wakimsikiliza mbunge wa moshi mjini
-chadema Ndesamburo wakati wa uzinduzi wa operesheni pamoja daima jana

Mbunge wa
moshi mjini -chadema ndesamburo akihutubia mamia ya wafuasi na wapenzi
wa chadema kwenye uzinduzi wa operesheni pamoja daima jana kiborolino

Mbunge wa singida magharibi tundu lissu akihutubia wanachama muheza tanga
Katibu
Mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa Akihutubia wakazi wa Kyela, Mbeya
katika ziara zinazoendelea za Operesheni Pamoja Daima jana

Katibu Mkuu wa Chadsema Dr Wilbrod Slaa akimnadi Mgombea wa Udiwani jana


Sehemu ya Umati Mkubwa Uliyojitokeza jana

Katibu
Mkuu wa Chadema Dr Wilbrod Slaa wakati anaagana na wakazi wa Mbambabay
ambao walifurika kwa wingi kwenye Uzinduzi wa operesheni Pamoja Daima,
Kulia kwa Katibu Mkuu ni Mbunge wa iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa.
Picha na Chadema