Sunday, 5 January 2014

BREAKING NEWZZZ: BOTI YA KILIMANJARO 2 YANUSURIKA KUZAMA NUNGWI


Breaking Newss Habari zilizotufikia hivi punde zinasema boti ya Kilimanjaro 2 iliyokuwa
ikitoka Pemba kuelekea Ugunja inasemekana imepingwa na dhoruba kali na kunusurika kuzama, 10 kutupwa kwenye maji na kuachwa, wametupiwa maboya.chanzo : clouds fm