Waziri
mkuu wa zamani na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akitoa salamu zake
kwenye sherehe za miaka 51 ya muungano ambazo ziliandaliwa na jumuiya
ya watanzania wanaoishi katika Falme za kiarabu (UAE) .Sherehe hizo
Musa Mateja Mara baada ya kuelezwa
kwamba wapo kwenye uhusiano wa kimapenzi huku wenyewe wakidanganya wana
‘projekti’, hatimaye majirani wamefichua kuwa mwigizaji Shamsa Ford na
mwanamuziki Emmanuel Elibariki ‘Nay’, sasa wanaishi kama mke na mume.
Kuna
tafiti mbalimbali zilizowahi kufanywa, lakini leo nimekuja na hii list
ya Marais nane wanaoongoza kwa kuwa na utajiri mkubwa zaidi ya wenzao
Afrika.
Iko ishu ya Marais kung’ang’ania
madaraka kwenye nchi za Afrika, kingine ni hii ishu ya kujilimbikizia
mali, japo wapo wanaokuwa nazo kabla ya kushika madaraka lakini wengine
wanajichumia hapohapo wakiwa madarakani.
Waziri
wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya akiwa pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa
CITI na Mkuu wa Afrika kwa kundi la sekta ya utumishiwa umma Bw. Peter
M. Sullivan alipo mtembelea Mhe.Waziri kwa madhumuni ya kuisadia nchi ya
Tanzania katika ubalozi wa Marekani mjini Washington DC